Tuesday, October 23, 2018

MAJALIWA AFUNGUA MAONESHO YA SIDO MKOANI SIMIYU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama chaki zilizotengenezwa wilayani Maswa katika maonesho ya Shirika la Kuhudumia  Viwanda Vidogo (SIDO) kwenye  uwanja wa Nyakabindi mkoani Simiyu, Oktoba 23, 2018.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Maonesho ya Shirika la  Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) kwenye uwanja wa Nyakabindi mkoani Simiyu, Oktoba 23, 2018.

Badhi ya wananchi wa  mkoa wa Simiyu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza baada ya kufungua Maonesho ya Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO)  kwenye uwanja wa Nyakabindi.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea jembe la asili kutoka mhunzi,  Mashaka Daniel wa  Bukoba katika Maonesho ya Shirika la Kuhudumia  Viwanda Vidogo (SIDO)  aliyoyafungua kwenye uwanja wa Nyakabindi mkoani Simiyu, Oktoba 23, 2018.





EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.