Friday, October 26, 2018

MAJALIWA ASHIRIKI KATIKA TAMASHA LA UTAMADUNI WA MTANZANIA KWA JAMII YA WATU WA MKAO WA LINDI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwadhama  Polycarp Kardinali Pengo wakati alipowasili kwenye kijiji cha Makumbusho jijini Dar es salaam kushiriki katika  Tamasha la Utamaduni wa Mtanzania kwa Jamii ya Watu wa Mkoa wa Lindi, Oktoba 26, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na Mwadhama  Polycarp Kardinali Pengo wakati alipowasili kwenye kijiji cha Makumbusho jijini Dar es salaam kushiriki katika  Tamasha la Utamaduni wa Mtanzania kwa Jamii ya Watu wa Mkoa wa Lindi, Oktoba 26, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa amekaa katika mazingira ya asili wakati aliposhiriki katika  Tamasha la Utamaduni wa Mtanzania kwa Jamii ya Watu wa Mkoa wa Lindi lililofanyika  kwenye kijiji cha Makumbusho jijini Dar es salaam, Oktoba 26, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama vyakaula vya asili wakati aliposhiriki katika Tamasha la Utamaduni wa Mtanzania  kwa Jamii ya Watu wa Mkoa wa Lindi  lililofanyika kwenye kijiji cha Makumbusho jijini Dar es salaam, Oktoba 26, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama vyakaula vya asili wakati aliposhiriki katika Tamasha la Utamaduni wa Mtanzania  kwa Jamii ya Watu wa Mkoa wa Lindi  lililofanyika kwenye kijiji cha Makumbusho jijini Dar es salaam, Oktoba 26, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipanda mti wa asili wakati aliposhiriki katika Tamasha la Utamaduni wa Mtanzania  kwa Jamii ya Watu wa Mkoa wa Lindi  lililofanyika kwenye kijiiji cha Makumbusho jijini Dar es salaam, Oktoba 26, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.