Monday, March 20, 2017

MAJALIWA ASHIRIKI UZINDUZI WA JUKWAA LA UCHUMI LA AFRICA MJINI PORT LOUIS- MAURITIUS.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa nchi za Afrika walioshiriki katika uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Afrika kwenye Hoteli ya Westin mjini Port Louis nchini Mauritius Machi 20, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu wa Swaziland , Barnabas Sibusiso Dlamini katika uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Afrika kwenye hoteli ya Westin mjini Port Louis, Mauritius, Machi 20, 2017.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.