Tuesday, March 21, 2017

MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA NA KUKARABATI MELI CHA MAURITIUS

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea kwanda cha kutengeneza na kukarabati meli, boti cha pantoni cha Contier Naval Del' Oceaniindien Limited (CNO 1 Company Limited) cha Mauritius Machi 21, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Bibi Veroniqu Gorrioch kuhusu utengeneza na ukarabatiwa meli, pantoni na boti wakati alipotembelea kiwanda cha kutengeneza na kukarabati meli, pantoni na boti cha Contier Naval Del' Oceaniindien Limited (CNO 1 Company Limited) cha Mauritius Machi 21, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea kwanda cha kutengeneza na kukarabati meli, boti cha pantoni cha Contier Naval Del' Oceaniindien Limited (CNO 1 Company Limited) cha Mauritius Machi 21, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.