Monday, March 27, 2017

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA KATIKA MGODI WA BUZWAGI

Mtaalam wa madini akiweka sampuli ya mchanga katika mfuko kutoka katika baadhi ya makontena na kumkabidhi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa nakuondoka nao kwa ajili ya kuupeleka katika maabara ya serikali inayoshughulika na upimaji wa madini. Waziri Mkuu alifanya ziara katika mgodi wa Buzwagi 27 March, 2017 kwa lengo ya kujionea aina ya mchanga unaosafirishwa nje ya nchi na baadhi ya Migodi inayochimba Dhahabu hapa Nchini. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga  Josephine  Matiro katika uwanja wa ndege wa mgodi wa  Buzwagi 27 March,2017 katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga  Zainabu  Telaki viongozi hao walifika kumpokea Waziri Mkuu alipofika kuangalia shughuli za mgodi wa Buzwagi uliopo wilaya Kahama mkoa wa Shinyanga 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga  Josephine  Matiro katika uwanja wa ndege wa mgodi wa  Buzwagi 27March2017, Katikati ni Mkuu wa mkoa wa Shinyanga  Zainabu  Telaki. Viongozi hao walifika kumpokea Waziri Mkuu alipofika kuangalia shughuli za Mgodi wa Buzwagi uliopo wilaya Kahama Mkoa wa Shinyanga. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  afanya ziara  katika Mgodi wa Buzwagi  27 March 2017 kwa ajili ya kuangalia  Mchanga  uliowekwa katika  Makontena  kwa ajili yakusafirishwa nje ya nchi katikati ni Mkuu wa  Mkoa wa Shinyanga  Zainabu Telaki, na kushoto ni Meneja  Mkuu wa  Mgodi wa Buzwagi Bwana  Stewart Hamilton Picha na PMO.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.