Wednesday, March 22, 2017

MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA SAMAKI CHA MAURITIUS

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama usindikaji wa samaki katika kiwanda cha MER  Des Mascareignes nchini Mauritius Machi 21, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama usindikaji wa samaki katika kiwanda cha MER  Des Mascareignes nchini Mauritius Machi 21, 2017.
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akitazama makasha yenye minofu ya samaki wakati alipotembelea kiwanda cha samaki cha MER  Des Mascareignes nchini Mauritius Machi 21, 2017. Wapili kulia ni Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Dkt. Khalid Salum Mohammed.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea kiwanda cha samaki cha MER  Des Mascareignes nchini Mauritius Machi 21, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.