Tuesday, March 28, 2017

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA WAZIRI MKUU-DODOMA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua akiimba wimbo wa uzalendo wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi wa ofisi yake Dodoma Machi 28, 2017.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu wakiimba wimbo wa uzalendo wakati wa mkutano wao wa mwaka katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi hiyo Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo katika ukumbi wa ofisi hiyo Dodoma.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Packshard Mkongwa akiwasilisha hoja za bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika Dodoma Machi 28, 2017.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua akiwasilisha hotuba yake wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi yake ukumbi wa mikutano Dodoma Machi 28, 2017.


Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Flora Bilauri akitoa neno la utangulizi wakati mkutano wao wa mwaka uliofanyika Ukumbi wa mikutano wa Ofisi hiyo Dodoma Machi 28, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.