Saturday, March 24, 2018

MAKATIBU WAKUU WAJADILI MAELEKEZO YA MHE. RAIS ALIYOYATOA KATIKA MKUTANO WA 11 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi akifafanua jambo wakati wa Kikao kazi cha Makatibu Wakuu na Wataalamu walipokutana leo Mjini Dodoma kujadili maelekezo ya Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli aliyoyatoa wakati wa Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara .

Baadhi ya Wajumbe wa kikao cha Makatibu Wakuu wakifuatilia mada wakati wa kikao cha kujadili maelekezo Mhe.Rais Dkt.John Magufuli aliyoyatoa wakati wa Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC)  Mhandisi Raymond Mbilinyi akichangia hoja wakati wa kikao kazi cha kujadili maelekezo ya Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli aliyoyatoa wakati wa Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi (kulia) akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI Dkt.Zainabu Chaula walipokutano katika Kikao hicho.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi akijadili jambo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Mhandisi.Raymond Mbilinyi wakati wa Kikao kazi cha kujadili maelekezo yaliyotolewa na Mhe.Rais Dkt.John Magufuli wakati wa Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara.

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho akifafanua jambo wakati wa Kikao kazi cha kujadili maelekezo yaliyotolewa na Mhe.Rais Dkt.John Magufuli wakati wa Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara.

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho akiteta jambo na Makatibu wakuu walioshiriki kikao kazi cha kujadili masuala ya uwekezaji Katikati ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi na kulia ni Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI Dkt.Zainabu Chaula

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Prof.Elisante Ole Gabriel akieleza jambo wakati wa Kikao kazi cha kujadili maelekezo yaliyotolewa na Mhe.Rais Dkt.John Magufuli wakati wa Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara.

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi Emmanuel Kalobelo akiuliza swali wakati wa Kikao kazi cha kujadili maelekezo yaliyotolewa na Mhe.Rais Dkt.John Magufuli wakati wa Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.