Wednesday, March 28, 2018

VIWANJA VYA BUNGE LEO 28,MARCH 2018

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Tabora Kaskazini, Almasi Maige kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Machi 28, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Profesa Bonaventure Rutinwa ambaye ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam - Taaluma (Deputy Vice Chancellor- Academic) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Machi 28, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kuteuliwa, Janet Masaburi kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Machi 28, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.