Thursday, December 12, 2019

SHEREHE ZA MIAKA 58 YA UHURU WA TANZANIA BARA PAMOJA NA MIAKA 57 YA JAMHURI ZILIZOFANYIKA KATIKA UWANJA WA CCM KIRUMBA JIJINI MWANZA

Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri: Kauli Mbiu ya mwaka huu ni “Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri: Uzalendo, Uwajibikaji ni Msingi wa Ujenzi wa Uchumi wa Taifa letu”
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama, akiwa na viongozi wengine wa Itifaki  katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza,  tayari kwa kuwapokea viongozi wa Kitaifa na wageni waalikwa wa sherehe  za Miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri Desemba 9,  2019. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  kuongoza Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri. Desemba 9, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride la heshima katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  katika Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri.  Desemba 9, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama, mara baada ya kukagua gwaride la heshima katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  na akiwa tayari  kuongoza Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri.  Desemba 9, 2019
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa  (kulia) pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar  Mhe, Zubeir Ali Maulid (kushoto kwake) na Jaji Mkuu Zanzibar Omar Othman Makungu wakiwa wamesimama kwa ajili ya wimbo wa Taifa katika Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri.  Desemba 9, 2019, katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.


Rais mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Desemba, 9, 2019.
Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Desemba 9,  2019.
Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
 Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Baadhi ya Mawaziri, Mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya Kimataifa wakifuatilia shughuli za Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri katika  uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Desemba 9, 2019.
Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia shughuli za Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri katika  uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Desemba 9, 2019.
Baadhi ya Makatibu Wakuu na viongozi wa Taasisi za serikali wakifuatilia shughuli za Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri katika  uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Desemba 9, 2019.
Gwaride la Heshma lililoandaliwa na vikosi mbalimbali vya Majeshi ya Polisi, Magereza na JWTZ yakipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika,  katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza, Desemba 9, 2019.
Kikosi cha Makomando wa JWTZ wakionesha umahiri wao wa kufanya zoezi la uokozi katika mfano wa Tukio la Utekaji, tarehe 9 Desemba, 2019, kwenye sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

Kwaya ya AIC Makongoro ya Jijini Mwanza wakiimba wimbo wa AMANI walipokuwa wakiimba kwenye sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza, Desemba 9, 2019.
Kikundi cha Sungusungu cha kutoka Kwimba mkoani Mwanza kikitumbuiza katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza, tarehe 9 Desemba, 2019.


Kikundi cha Sungusungu cha kutoka Kwimba mkoani Mwanza kikitumbuiza katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza, tarehe 9 Desemba, 2019.


Wacheza ngoma ya Litungu ya kabila la Wakurya  wakitumbuiza kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Desemba 9, 2019.
Msanii Rajabu Abduli maarufu kama “Harmonize” akitumbuiza katika  Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Desemba 9, 2019.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.