![]()  | 
Mwakilishi kutoka Chama cha Wasioona Bi. Nuru Awadhi akichangia mada wakati wa mkutano huo. 
 | 
![]()  | 
Baadhi ya wadau wakifuatilia mada zilizokuwa zinawasilishwa kwenye Mkutano huo. 
 | 
![]()  | 
Mtaalamu Mwelekezi kutoka Chuo Cha Mzumbe Dkt. Henry Mollel (aliyesimama) kiwasilisha mada kuhusu rasimu ya mpango huo wakati wa mkutano huo. 
 | 
![]()  | 
Sehemu ya Wadau walioshiriki Mkutano huo wakisikiliza hotuba ya Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Masuala ya Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (hayupo pichani). 
 | 










EmoticonEmoticon
Note: Only a member of this blog may post a comment.