Wednesday, December 11, 2019

KANUNI ZA UTOAJI NA USIMAMIZI WA MIKOPO KWA VIJANA KUFANYIWA MABORESHO ZAIDI

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akihutubia vijana wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Mkopo wa Shilingi Milioni 92 kwa vikundi vya Vijana Wilayani Chato.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akihutubia vijana wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Mkopo wa Shilingi Milioni 92 kwa vikundi vya Vijana Wilayani Chato.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akihutubia vijana wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Mkopo wa Shilingi Milioni 92 kwa vikundi vya Vijana Wilayani Chato.

Baadhi ya Vijana kutoka Geita, Chato na Bukombe wakisikiliza hotuba ya Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde (hayupo pichani).
Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Nishati, Mhe. Medard Kalemani akieleza jambo wakati wa hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi akifafanua jambo kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Mkopo wa Shilingi Milioni 92 kwa vikundi vya Vijana Wilayani Chato.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde (kushoto) akiteta jambo na Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Nishati, Mhe. Medard Kalemani (kulia). Katikati ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Chato Bw. Christian Manunga.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akieleza jambo wakati hafla hiyo ya kukabidhi hundi ya Mkopo wa Shilingi Milioni 92 kwa vikundi vya Vijana Wilayani Chato.
Sehemu ya vijana wakifurahia jambo wakati wa hafla hiyo.
Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Nishati, Mhe. Medard Kalemani (kulia) akicheza na kikundi cha vijana walipokuwa wakitoa burudani katika hafla hiyo.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.