Wednesday, May 17, 2017

WAZIRI MKUU KATIKA MATUKIO PICHA BUNGENI LEO 17 MEI,2017

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kavuu, Dkt. Pudenciana Kikwembe kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 17, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Viti Maalum, Cecilia Pareso kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 17, 2017.
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Morogoro Kusini, Prosper Mbena kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 17, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.