Saturday, May 13, 2017

MKUTANO WA WADAU TASNIA YA KOROSHO- DODOMA

Waziri Mkuu  Kassim  Majaliwa  akimsikiliza kwa makini  Mwenyekiti  wa  Bodi ya Korosho , Mama  Anna  Abdala  baada ya Ufunguzi wa  Mkutano  Mkuu  wawa Dau wa Tansnia  ya Korosho  Nchini katikati ni Waziri wa Kilimo ,Mifugo na Uvuvi  Dr Chales  Chizeba  , Waziri Kuu  amefungua Mkutano huo  May 13, 2017 katika  Ukumbi wa  Chuo cha Mipango   Mkoani  Dododma.
Wadau  wa Tasnia ya Korosho   wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  wakati wa ufunguzi wa Mkutano  Mkuu  wawa Dau wa Tansnia  ya Korosho  Nchini  ambao  umefunguliwa  na Waziri Mkuu  May 13, 2017 katika  Ukumbi wa  Chuo cha Mipango   Mkoani  Dododma.

Waziri  Mkuu  Kassim  Majaliwa  akihutubia    wakati wa ufunguzi wa Mkutano  Mkuu  wawa Dau wa Tansnia  ya Korosho  Nchini  ambao  umefunguliwa  na Waziri Mkuu  May 13, 2017 katika  Ukumbi wa  Chuo cha Mipango   Mkoani  Dododma 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.