Thursday, February 13, 2020

TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA KWANZA KWA KAMATI YA MAWAZIRI WENYE DHAMANA YA MENEJIMENTI YA MAAFA KWA NCHI ZA SADC

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi , Ajira,  Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri wenye dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika utakaofanyika tarehe 18 – 21 Februari, 2020, Zanzibar. Mgeni Rasmi, atakayefungua mkutano huo ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe Dk. Ally Mohamed Shein.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi , Ajira,  Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri wenye dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika utakaofanyika tarehe 18 – 21 Februari, 2020, Zanzibar. Kulia kwake ni, Mkurugenzi wa Menejimenti ya Maafa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, KanalI, Jimmy Matamwe.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi , Ajira,  Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri wenye dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika utakaofanyika tarehe 18 – 21 Februari, 2020, Zanzibar. Mgeni Rasmi, atakayefungua mkutano huo ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe Dk. Ally Mohamed Shein.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI



NduguWananchi,
Serikaliya Tanzania itakuwamwenyejiwaMkutanowa Kwanza waKamatiyaMawaziriwenyedhamanayaMenejimentiyaMaafakwaNchiWanachamawaJumuiyayaMaendeleoKusinimwaAfrikautakaofanyikatarehe 18 – 21 Februari, 2020, Zanzibar. MgeniRasmi, atakayefunguamkutanohuoniRaiswa Zanzibar naMwenyekitiwaBaraza la Mapinduzi.Mhe Dk. Ally Mohamed Shein.
KaulimbiuyaMkutanohuu: “UshirikiwaKisektakwenyeKupunguzamadharayamaafaninjia bora yakuimarishaustahimilivukatikaukanda wan chi WanachamawaJumuiyayaMaendeleoKusinimwaAfrika” (SADC).
Itakumbukwakuwa Tanzania ilichukuarasminafasiyaMwenyekitiwajumuiyakuanziamweziAgosti, 2019 kwakipindi cha mwakammojahadimweziAgosti, 2020
Mkutanohuuunafanyikakwamaraya kwanza visiwani Zanzibar tanguMhe. Dkt. John Joseph PombeMagufuli,RaiswaJamhuriyaMuunganowaTanzania akabidhiweuenyekitiwajumuiya. Kufanyikakwamkutanohuunifursakubwakwawananchiwa Tanzania kwaniutasaidiakukuzabiasharanautaliikatikanchiyetuhasavisiwavya Zanzibar nakuendeleakujitangazakimataifa.
NduguWananchi,
KamatiyaMawaziriwenyedhamanayamenejimentiyaMaafaimeanzishwakwalengo la kulishauriBaraza la Mawaziriwanchizajumuiyaya SADC kuhusumasualayaupunguzajiwamadharayamaafakikanda. Lengomahususi pia ni,  kuwanajukwaa la kubadilishanataarifanauzoefuwakiutendajimiongonimwanchiwanachamailikutekelezakwaufanisishughulizausimamiziwamaafa.
NduguWananchi,
Mkutanohuuunakujakipindiambachonchinyingiwanachamakatikaukandahuuzimekuwazikiathiriwanamajangayaasilimarakwamaranakusababishamadharamakubwa. Sotetunakumbukaukamewamwaka 2016 ambaouliathiritakribaniwatumilioni 40 katikaukandahuunakusababishaukosefuwachakula. Idadihiiiliongezekahadiwatumilioni 41.6 katikanchi 13 Wanachamakipindi cha msimuwa 2018/2019.
NduguWananchi,
Baadhiyanchiwanachamaikiwemo; (Komoro, Malawi, Msumbijina Zimbabwe) kwamwaka 2019 zilipatamafurikoyaliyosababishwanaVimbungaIdaina Kenneth. Kutokanamadharayamafurikohayo, Gharamazamisaadakukabilianamadharanikubwa (zinakadiriwakuwadolamilioni 323)wakatigharamazakurejeshahalizilikadiriwakuwadolabilioni 10.
Ili kuwezakupunguzagharamakubwakatikaurejesahiwahalindiomaanakatikamkutanohuuwa SADC tutajadiliananamnayakuwekezakatikapunguzamadharayamaafa, kwakuwaGharamazausimamiziwamaafakamayaukamaenamafurikohuzilazimuNchiWanachamakuelekezarasilimalizilizotengwakwaajiliyashughulizazamaendeleonabadalayakekuelekezwakatikashughulikurejeshahali.
Sotetunakumbuka, matukioyaVimbungavyaIdainaKeneth, vilivyosababishaatharikubwakatikanchizaMsumbiji, Malawi na Zimbabwe.KutokananamadharayaVimbungahivyo,  Nchiyetuilishirikiipasavyokatikahatuazakurejeshahalikwenyenchihizotatu  .
NduguWananchi,
Kwa uzoefuwaainayamajangaambayohutokeakatikanchiza SADC, inadhihirishaumuhimuwaushirikianowakikandauliothabitikatikakukabiliananayo. Majangahayakwakiasikikubwayanatokananamabadilikoyatabianchinahaliyahewa, Pia yamekuwayakitokeamagonjwayamilipukoyawanyamanamazao, katikaukandahuuambaoasilimiakubwayawananchi wake hutegemeasanashughulizakilimokwaustawiwauchumi.
Hali hiiimekuwaikichangiakudumazaukuajiwauchumiwakikanda, hivyohatunabudikuchukuahatuakwapamojazakupunguzamadhara, kuimarishautayariwakikandanauwezowakukabiliananamaafa.
Aidha, katikakuchukuahatuazakuimarishaustahimilivuwakikandadhidiyamaafa, SekretarietiyaJumuiyakwakushirikianananchiwanachamaimekuwaikifanyajuhudimbalimbalizakuimarishaustahimilivukwakuandaaMpangowaDharurawaKujiandaanaKukabiliananaMaafa,  kushirikianakuandaataarifazautabiriwamsimunakutoatahadhariyaawalikuhusuhatarizitokanazohaliyahewapamojanakutoamafunzokwawataalamwanchiwanachamakatikafanimbalimbaliikiwemotathmini, utafutajinauokoaji.
Aidha, baadhiyanchiwanachamaikiwemo Tanzania zimefaidikakwakupatavifaanamifumoyakufuatiliamajangayamafuriko, ukamena moto wamisitunikwaajiliyakutoatahadhariyaawalikupitiaushirikianohuo.
Ili kwendasambambanajuhudizakikandanakimataifa, serikaliyaawamuyatanoinayoongozwanaDkt. John PombeMagufuli,  itaendeleakuimarishauwezo wake wausimamiziwamaafakatikanyanjazote. TayariserikaliyaawamuyaTanoimetungaSheriayaUsimamiziwaMaafayaKitaifa Na. 7 ya 2015 nakanunizake, TunaoWasifuwaJanga la MafurikonaUkamewaKitaifanaMkakatiwaTaifaKupunguzaMadharayaMaafa;
Lengokubwa la serikalinikuhakikishakilasektainazingatiahatuazaupunguzajiwamadharayamaafakatikamipangoyamaendeleonauandaajiwabajetiilikupunguzamadharakwajamiinahasarazakiuchumi.
NduguWananchi,
 MkutanowaKwanzawaKamatiyaMawaziriwanaohusikanaMenejimentiyaMaafakwaNchiWanachamawaJumuiyayaMaendeleoKusinimwaAfrikautakaofanyikamweziFebruari, 2020 visiwaniZanzibar unakusudiakuchocheajuhudizilizopokatikakupunguzamadharayamaafakwakutelelezayafuatayo:
  1. KujadilinakupitishaMkakatiwaKujiandaanaKukabiliananaMaafawaKikanda 2016 – 2030;
  2. KujadilinakuridhiaMfumoMkakatiwaUstahimilivuwaKikanda 2020 – 2025;
  3. Kupokeataarifazamaendeleojuuyautekelezajiwamkakatiwamabadilikoyatabianchinampangokazi wake;
  4. Mpangowapamojawamazoeziyanadhariayakukabiliananadharura, utafitinanjiambadalazakukabiliananamajangakatikakutoahudumazakibinadamu, urejeshajiwamiundombinukutokananamajangayaasili.
Asantenikwakunisiliza.

Mhe. JenistaMhagama (MB)
WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU
(SERA, URATIBU, BUNGE, UWEKEZAJI, AJIRA, VIJANA NA WENYE WALEMAVU)


13 FEBRUARI, 2020


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.