Saturday, February 22, 2020

MAJALIWA AONDOKA KIGOMA BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma kwenye uwanja wa Ndege wa Kigoma  kabla ya kuondoka baada ya kukamilisha ziara ya siku moja mkoani humo, Februari 22, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Mstaafu, Emmanuel Maganga kwenye uwanja wa Ndege wa Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya siku moja mkoani humo, Februari 22, 2020. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Kigoma, Amandus Nzamba.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo  Februari 22, 2020 ameondoka mkoani Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya kikazi ya siku moja. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akiwaaga viongozi  kwenye uwanja wa Ndege wa Kigoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.