Thursday, February 27, 2020

CHANGAMOTO YA UMEME NA UTITIRI WA KODI VYALALAMIKIWA MKOA WA MARA

Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara na kuzipatia ufumbuzi uliofanyika katika Manispaa ya Shinyanga wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki (hayupo pichani) Februari 26, 2020.
Mmoja wa wafanyabiashara mkoa wa Shinyanga Bw. Idsam Mapande akiwasilisha hoja zinazohusu kero za madereva pikipiki wakati wa mkutano huo.
Mmoja wa wachimbaji wadogo mkoa wa Shinyanga Bw. Ludaki Shaban akiwasilisha kero za ukosefu wa umeme katika maeneo ya uchimbaji wakati wa mkutano wa kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara katika mkoa huo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni akisalimiana na Mhe.Steven Masele (Mb) wakati wa Mkutano huo.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Tellack akieleza kuhusu fursa za uwekezaji zilizopo katika mkoa wake wakati wa Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara na kuzipatia ufumbuzi uliofanyika katika Manispaa ya Shinyanga Februari 26, 2020.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akihutubia wakati wa Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara na kuzipatia ufumbuzi uliofanyika katika Manispaa ya Shinyanga Februari 26, 2020.
Naibu Waziri Maliasili na Utalii Mhe. Constantine Kanyasu akijibu hoja wakati Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara na kuzipatia ufumbuzi uliofanyika katika Manispaa ya Shinyanga  mkoani Shinyanga.
Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akijibu hoja za masuala ya wafugaji na wavuvi wakati wa mkutano huo.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula akijibu hoja za masuala ya wafugaji na wavuvi wakati wa mkutano huo.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza wakati wa mkutano huo.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.