Monday, February 24, 2020

CHANGAMOTO YA UMEME NA UTITIRI WA KODI VYALALAMIKIWA MKOA WA MARA

Mfanyabiashara na mkulima mkoa wa Mara Bw. Wambura Mwita akichangia hoja wakati wa mkutano wa wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto cha wawekezaji na wafanyabiashara.
Mfanyabiashara mkoa wa Mara Bw. Edward Masato akichangia hoja wakati mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara uliofanyika Februari 24, 2020.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Adam Malima wakiangalia viatu vya ngozi vinavyotengenezwa na wafanyabiashara wa mkoa huo, wakati wa maonesho ya wafanyabiashara wakati wa Mkutano huo.
Naibu Waziri Viwanda na Biashara Mhe. Mhandisi Stella Manyanya akijibu hoja za wawekezaji na wafanyabiashara wa Mkoa wa Mara wakati wa Kongamano lao la kueleza changamoto na kupatiwa ufumbuzi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipata maelezo kuhusu biashara ya ngozi kutoka kwa mfanyabiashara na mfugaji Bw. Jonath Magige wakati wa maonesho ya wafanyabiashara walioshiriki katika mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara  uliofanyika Wilaya ya Musoma Mjini Mkoa wa Mara.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akihutubia wakati wa Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara na kuzipatia ufumbuzi uliofanyika katika Wilaya ya Musoma Mijini Mkoa wa Mara Februari 24, 2020.
Naibu Waziri Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akijibu hoja za wawekezaji na wafanyabiashara wa Mkoa wa Mara wakati wa Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara mkoa wa Mara.
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Adam Malima akitoa maelezo kuhusu mkoa wake wakati wa Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara na kuzipatia ufumbuzi uliofanyika katika Mkoa wa Mara Februari 24, 2020.
Sehemu ya wajumbe walioshiriki mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara wakifuatili hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki (hayupo pichani).
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki (wa pili kutoka kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Adam Malima, Mhe. Dkt. Ashatu kijaji Naibu Waziri Fedha na Mipango pamoja na Naibu Waziri Viwanda na Biashara Mhe. Mhandishi Stella (Manyanya wa kwanza kushoto) wakiimba wito wa Taifa wakati wa mkutano wa wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angelah Kairuki akioneshwa nyavu inayotumika kuvulia samaki na Mvuvi Bw. Msendo Mwigine wakati wa mkutano wa wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji katika Mkoa wa Mara.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.