Saturday, March 28, 2026

NAIBU WAZIRI UMMY ASHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU WILLIAM LUKUVI


NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Mhe. Ummy Nderiananga akiwa katika ibada ya kuaga mwili aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Marehemu Mhe. William Lukuvi leo katika viwanja vya Karimjee Hall Jijini Dar es salaam.

Mhe. Lukuvi amefariki dunia  tarehe 25 Machi, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Mkoani Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.