Friday, April 21, 2017

WAZIRI MKUU AUNGANA NA WABUNGE KUUAGA MWILI WA DKT. ELLY

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa salamu za Serekali katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma 21/04/2017 wakati wa  shughuli ya  kuaga Mwili wa Maerehemu Mheshimiwa  Dr  Elly Marko Macha  ambaye alifariki  Nchini Uingereza alipokuwa katika matibabu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa salamu za Serekali katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma 21/04/2017 wakati wa  shughuli ya  kuaga Mwili wa Maerehemu Mheshimiwa  Dr  Elly Marko Macha  ambaye alifariki  Nchini Uingereza alipokuwa katika matibabu.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa  mkono wa pole Glory  Haika Peter (24) ambaye ni Mtoto wa Maerehemu  Mheshimiwa Dr  Ell Macha  Mbunge  viti Maalumu Chadema ,Wakati wakusindikiza  Mwili wa marehemu katika Uwanja  wa Ndege wa Dodoma 21/04/2017





EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.