Thursday, April 27, 2017

MATUKIO PICHA BUNGENI LEO APRIL 27,2017

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) wakifurahia kuona medali ya dhahabu aliyoivaa Mwanaridha Alphonce Simbu  ambayo aliinyakuwa katika  mashindano ya Mumbai  Marathon nchini India na tuzo aliyoipata hivi karibuni baada ya kushika nafasi ya tano katika mashindano ya London Marathon. Waziri Mkuu alikutana na mwanariaha huyo kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Aprili 27, 2017. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kahama mjini , Jumanne Kishimba kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Aprili 27, 2017. 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wabunge wa  Chama cha CUF kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Aprili 27, 2017. Kutoka kulia ni Riziki Mngwali wa Viti Maalum, Saed Kubenea wa Ubungo, Juma Kombo Hamad wa Wingwi, Abdaallah Mtolea wa Temeke  na  Haji Khatib Said wa Konde. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.