Saturday, December 2, 2017

MAJALIWA AMFARIJI MOHAMMED CHILAMBO AMBAYE NYUMBA YAKE ILICHOMWA MOTO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwafariji Katibu  wa CCM wa Kata ya Mnacho , Mohammed Chilambo  (kushoto kwake) ambaye nyumba yake imechomwa moto kwa sababu zinazodaiwa kuwa za kisiasa katika kijiji cha Chimbela B wilayani Ruangwa Desemba 2, 2017.





EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.