Tuesday, December 19, 2017

KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKUTANA NA UONGOZI WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE DODOMA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora akizungumza jambo kwa viongozi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere walipomtembelea Ofisini kwake Desemba 19, 2017 Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora akizungumza jambo kwa viongozi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere walipomtembelea ofisini kwake Desemba 19, 2017 Dodoma.

Katibu Myeka Mstaafu wa Hayati Mwalimu J. Kambarage Nyerere Bw. Samwel Kasori akieleza jambo kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora walipomtembelea Ofisi kwake Dodoma.
 
Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akizungumza jambo kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora walipomtembelea ofisini kwake Dodoma na kufanya mazungumzo.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere walipomtembelea Dodoma Leo.Kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Joseph Butiku na kushoto ni Bw.Samwel Hussein Kasori.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.