Tuesday, December 5, 2017

MAJALIWA AREJEA DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary  wakiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Benilith Mahenge wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Desemba 5, 2017. Mheshimiwa Majaliwa amerejea Dodoma  baada ya safari katika mikoa ya Singida, Lindi na Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Dodoma wakati alipowasili   kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Desemba 5, 2017, baada ya safari ya Singida, Lindi na Dar es salaam.  Kulia kwake ni mkewe Mary.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.