Thursday, January 4, 2018

KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA OFISI YA RAIS TAMISEMI KUONA MIFUMO YA TEHAMA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora (kushoto) akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Miundombinu ya TEHAMA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Baltazari Kibola wakati wa warshaa kuhusu Mifumo ya TEHAMA na Takwimu inavyotegemeana Kiutendaji yaliyofanyika Tarehe 04 Januari, 2018 Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Mohamed Pawaga akizungumza jambo alipotembelewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora katika ofisi yake Mjini Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora akitoa ufafanuzi wa masuala ya mifumo ya TEHAMA wakati wa Warsha iliyolenga juu ya Mifumo ya TEHAMA na Takwimu inavyotegemeana Kiutendaji yaliyofanyika  katika ukumbi wa mikutano wa TAMISEMI Dodoma .

Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Shughuli za Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Obey Assery akichangia hoja wakati wa warsha fupi kuhusu Mifumo ya TEHAMA na Takwimu inavyotegemeana Kiutendaji iliyoandaliwa na TAMISEMI Januari 4, 2018 Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Mohamed Pawaga akieleza umuhimu wa matumizi ya Mifumo ya TEHAMA na Takwimu kwa wajumbe wa warsha iliyoandaliwa na Ofisi hiyo Dodoma.
Daktari Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Boniface Nguhuni akijibu hoja wakati wa Warsha ya Masuala ya Mifumo ya TEHAMA iliyoandaliwa na ofisi hiyo Januari 04, 2018 Dodoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.