Saturday, January 6, 2018

WAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA MKOA WA RUVUMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongea na Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Nyasa, katika Hoteli ya Mt. Vicent iliyopo Mbambabay, Mkoani Ruvuma, Januari 6, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongea na Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Nyasa, katika Hoteli ya Mt. Vicent iliyopo Mbambabay, Mkoani Ruvuma, Januari 6, 2018.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Nyasa, eneo la Kilosa Bambabay katika Wilaya ya Nyasa, Mkoani Ruvuma, Januari 6, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe wakati akifungua Bwalo la Chakula katika Shule ya Sekondari Bambabay, Wilaya ya Nyasa, Mkoani Ruvuma, Januari 6, 2018.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia ngoma ya mganda,katika Tamasha la utalii lililofanyika Bambabay, Wilaya ya Nyasa, Mkoani Ruvuma, Januari 6, 2018.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea zawadi, kutoka kwa Bibi Cecilia Manyai, katika Tamasha la utalii lililofanyika Bambabay, Wilaya ya Nyasa, Mkoani Ruvuma, akiwa ni Mgeni rasmi katika Tamasha hilo, Januari 6, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea zawadi, kutoka kwa Mzee Gidion Ndembeka, katika Tamasha la utalii lililofanyika Bambabay, Wilaya ya Nyasa, Mkoani Ruvuma, akiwa ni Mgeni rasmi katika Tamasha hilo, Januari 6, 2018. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea zawadi ya ungo, kutoka kwa Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Stella Manyanya, katika Tamasha la utalii lililofanyika Bambabay, Wilaya ya Nyasa, Mkoani Ruvuma, akiwa ni Mgeni rasmi katika Tamasha hilo, Januari 6, 2018.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.