Friday, January 5, 2018

WAZIRI MKUU AKIWA ZIARANI MKOA WA RUVUMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Molam Tanzania Limited, Medappa Mg, wakati alipotembelea Shamba la Kahawa la AVIV lililopo kwenye kijiji cha Lipokela Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma, Waziri Mkuu yupo Mkoani Ruvuma  kwa ziara ya kikazi ya siku tano. Januari 5, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipewa ufafanuzi wa miche ya Kahawa,  na mkulima wa zao hilo, Bi ….wakati akikagua kitalu cha miche ya kahawa katika Shamba la Kahawa la AVIV lililopo kwenye kijiji cha Lipokela Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma, Waziri Mkuu yupo Mkoani Ruvuma  kwa ziara ya kikazi ya siku tano. Januari 5, 2018.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi miche ya Kahawa, Mkulima wa zao hilo, Remigius Njovu,inayotolewa bure na Kampuni ya Molam Tanzania Limited, kwa wakulima wa zao la Kahawa, baada ya kukagua kitalu cha miche ya kahawa katika Shamba la Kahawa la AVIV lililopo kwenye kijiji cha Lipokela Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma, Waziri Mkuu yupo Mkoani Ruvuma  kwa ziara ya kikazi ya siku tano. Januari 5, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Molam Tanzania Limited, Medappa Mg, wakati akikagua kitalu cha miche ya Kahawa katika Shamba la Kahawa la AVIV lililopo kwenye kijiji cha Lipokela Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma, Waziri Mkuu yupo Mkoani Ruvuma  kwa ziara ya kikazi ya siku tano. Januari 5, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akioneshwa mashine ya kukoboa Kahawa na Meneja wa Shamba la Kampuni ya Molam Tanzania Limited, Hamza Kassim, wakati alipotembelea Shamba la Kahawa la AVIV lililopo kwenye kijiji cha Lipokela Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma, Waziri Mkuu yupo Mkoani Ruvuma  kwa ziara ya kikazi ya siku tano. Januari 5, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia Wananchi­­, wakati alipotembelea Shamba la Kahawa la AVIV lililopo kwenye kijiji cha Lipokela Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma, Waziri Mkuu yupo Mkoani Ruvuma  kwa ziara ya kikazi ya siku tano. Januari 5, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.