Thursday, January 25, 2018

WATAALAM WA MASUALA YA MAAFA WAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA KIKAO CHA BARAZA LA USIMAMIZI WA MAAFA TANZANIA

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig. Jen. Mbazi Msuya akifungua kikao cha Wataalam wa Maandalizi  wa Kikao cha Baraza la Usimamizi wa Maafa Tanzania kilichofanyika Januari 25, 2018 katika Ukumbi wa Mikutano  Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma.

Mratibu wa Maafa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Charles Msangi akiwasilisha mada wakati wa kikao cha Wataalam wa Maandalizi  wa Kikao cha Baraza la Usimamizi wa Maafa Tanzania kilichofanyika Januari 25, 2018 katika Ukumbi wa Mikutano  Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi (Mipango na Tafiti) Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Bashiru Taratibu akichangia hoja wakati wa Kikao cha Wataalamu wa masuala ya Maafa kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma.
Afisa Kilimo Wizara ya Kilimo (Idara ya Usalama wa Chakula) Bw. Robert Dimoso akiuliza swali wakati wa Kikao cha Wataalamu wa masuala ya Maafa kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma.


Mhandisi Mwandamizi kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji Bi. Kalunde Malale akichangia hoja wakati wa Kikao cha Wataalamu wa masuala ya Maafa kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma.
Baadhi ya wajumbe wa Kikao cha Wataalamu wa masuala ya Maafa wakifuatilia uwasilishwaji wa mada kutoka kwa Mratibu wa Maafa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Charles Msangi (hayupo pichani) wakati wa kikao cha Wataalamu wa masuala ya Maafa kilichofanyika Januari 25, 2018 Dodoma.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig. Jen. Mbazi Msuya (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kikao cha Wataalamu wa masuala ya Maafa kilichofanyika Januari 25, 2018 Dodoma.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.