Wednesday, April 25, 2018

MAJALIWA ASHIRIKI MAZISHI YA MTUMISHI WA OFISI YA WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na mkewe Mary  wakiweka shada la  maua kwenye kaburi la mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Marehemu Atufigegwe Mwakasege katika mazishi yaliyofanyika kwenye Makaburi ya Kikuyu mjini Dodoma, Aprili 25, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na mkewe Mary wakitoa heshima za mwisho kwa mfanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Marehemu Atufigegwe Mwakasege, nyumbani kwa marehemu eneo la Kikuyu mjini Dodoma Aprili 25, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.