Friday, April 20, 2018

BUNGENI LEO 20.04.2018

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu, Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Wenyeulemavu, Antony Mavundebungeni mjini Dodoma Aprili 20, 2018.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi,  akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Aprili 20, 2018.

 Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, akizungumza Bungeni mjini Dodoma Aprili 20, 2018.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalim akijadili jambo na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Wenyeulemavu, Antony Mavunde, Bungeni mjini Dodoma Aprili 20, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akioneshwa kitu na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Aprili 20, 2018, kulia ni Mbunge wa Viti Maalum, Halima Bulembo.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.