Friday, April 20, 2018

BUNGENI LEO 19.04.2018

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali bungeni mjini Dodoma Aprili 19, 2018.

 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Bumbuli na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia  Muungano na Mazingira, January Makamba, bungeni mjini Dodoma Aprili 19, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi  Isack Kamwelwe, bungeni mjini Dodoma, Aprili 19, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Aprili 19, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kasulu Mjini, Daniel Nsanzugwako kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili 19, 2018.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Nyasa,  Mhandisi Stella Manyanya ambaye pia ni Naibu Waziri wa  Viwanda, Biashara na Uwekezaji (katikati) na Mbunge wa Viti Maalum, Zaynab Vullu kwenye viwanja via Bunge mjini Dodoma, Aprili 19, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.