Saturday, April 28, 2018

SERIKALI KUENDELEA KUKOMESHA AJIRA HATARISHI ZA WATOTO

Waziri wa Nchi Ofisi (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na baadhi ya washiriki wa maonesho wakati wa maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani Aprili 28, 2018 iliyoadhimishwa Kitaifa Mkoani Iringa.

Waziri wa Nchi Ofisi (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiwasili katika Viwanja vya Kichangani Mkoani Iringa wakati wa maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani Aprili 28, 2018.

Waziri wa Nchi Ofisi (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiangalia mfano wa namna bora ya kumuokoa mfanyakazi pindi apatapo ajari sehemu ya kazi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani Aprili 28, 2018 Iringa.

Afisa Mahusiano na jamii kutoka Kampuni ya Acacia Bi. Agripina Joseph akitoa maelezo kwa Waziri wa Nchi Ofisi (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama alipotembelea banda lao wakati wa maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani.

Waziri wa Nchi Ofisi (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akipokea zawadi kutoka kwa Kampuni ya Acacia waliposhiriki katika maonesho ya kuadhimisha Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani mkoani Iringa.

Mwalimu wa wasioona Steven Changalo akiandika jina la mhe.Waziri Mhagama kwa kutumia vifaa wezeshi alipotembelea banda la Chama cha Walimu Tanzania (CWT) katika maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani mkoani Iringa.

Kaimu Mtendaji Mkuu OSHA Bi.Khadija Mwenda akizungumza jambo wakati wa Kilele cha Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani yaliyoadhimishwa mkoani Iringa.

Waziri wa Nchi Ofisi (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akitoa vyeti kwa washindi wa maonesho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani yaliyofanyika mkoani Iringa.

Waziri wa Nchi Ofisi (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa OSHA pamoja na watendaji wa Idara ya Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali Pa Kazi Duniani yaliyofanyika mkoani Iringa.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.