Thursday, April 19, 2018

BUNGENI DODOMA LEO TAREHE 19.04.2018

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama  akizungumza na Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso, bungeni  mjini Dodoma, Aprili 19, 2018.

Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza, bungeni Mjini Dodoma, Aprili 19, 2018.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka 2018/2019, bungeni mjini Dodoma Aprili 19, 2018.

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika akizungumza na Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso (kushoto) na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Joseph Kakunda (kulia)  kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili 19, 2018. Wengine pichani ni watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.