Thursday, April 26, 2018

WAZIRI MKUU AHUDHURIA MECHI YA WABUNGE LA TANZANIA NA LILE LA EA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Sumve, Richard Ndasa, katika  mchezo wa mpira wa miguu kati ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma  Aprili 26, 2018, katikati ni Mbunge wa Ulyankulu, John Kadutu.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge la Afrika ya Mashariki,  Mhe.Martin Ngoga  katika  mchezo wa mpira wa miguu kati ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Aprili 26, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na Wabunge wa Bunge la Afrika ya Mashariki katika mchezo wa mpira wa miguu kati ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Aprili 26, 2018

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mchezo wa mpira wa miguu kati ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Aprili 26, 2018. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Kalenga Godfrey Mgimwa, Mbunge wa Sumbawanga mjini Aeshi Hilaly,Mbunge wa Morogoro Mjini Aziz Abood naMbunge wa Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja katika mchezo wa mpira wa miguu kati ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwenye uwanja wa Jamhuri  jijini Dodoma Aprili 26, 2018, kutoka kushoto ni Mbunge wa Morogoro Mjini Aziz Abood,Mbunge wa  Arumeru Mashariki Joshua Nassari,Mbunge wa Mafinga Cosato Chumi,Mbunge wa Mbulu Vijijini Flatei Massayna Mbunge wa Mchinga Hamidu Bobali.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.