Monday, April 30, 2018

MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MEI MOSI YAKAMILIKA.

Waziri wa Nchi Ofisi anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya sherehe za mei Mosi alipokutana nao kujadili maandalizi ya sherehe hizo uwanja wa Samora Mkoani Iringa Aprili 30, 2018.

Waziri wa Nchi Ofisi anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza jambo wakati wa kikao na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi Nchini wakati wa maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi Mkoani Iringa.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bw. Erick Shitindi akizungumza wakati wa kikao na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi Nchini wakati wa maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi Mkoani Iringa.

Waziri wa Nchi Ofisi anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama pamoja na Naibu wake Mhe.Antony Mavunde wakifuatilia michango ya baadhi ya viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi walipokutana kufanya tathimini ya maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi.

Waziri wa Nchi Ofisi anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya sherehe za mei Mosi alipokutana nao kujadili maandalizi ya sherehe hizo uwanja wa Samora Mkoani Iringa Aprili 30, 2018.

Waziri wa Nchi Ofisi anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akiimba wimbo wa Umoja na Mshikamano mara baada ya kukamilisha maandalizi ya sherehe za Mei Mosi.

Baadhi ya wajumbe wa kikao cha kukamilisha maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi wakiimba wimbo wa Umoja na Mshikamano mara baada ya kukamilisha maandalizi ya sherehe hizo.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.