Sunday, July 15, 2018

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA KATIKA MJI MDOGO WA KAHAMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Taifa Kahama, Julai 15, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma wakati  alipowasili kwenye Uwanja wa Taifa Kahama   kuhutubia mkutano wa hadhara, Julai 15, 2018. Wapili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.