Wednesday, July 18, 2018

WAZIRI MHAGAMA ATENGUA UTEUZI WA KAIMU MTENDAJI MKUU WA TaESA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge,  Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Muhagama akisilikiliza hoja za baadhi ya Wafanyakazi wa  Wakala wa Huduma za Ajira (TaESA) wakati wa mkutano na wafanyakazi hao jinjini Dar es Salaam.

Watumishi wa Wakala wa Huduma za Ajira (TaESA) wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge,  Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Muhagama  wakati wa mkutano na wafanyakazi hao jinjini Dar es Salaam. 

Watumishi wa Wakala wa Huduma za Ajira (TaESA) wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge,  Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Muhagama  wakati wa mkutano na wafanyakazi hao jinjini Dar es Salaam. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.