Sunday, July 22, 2018

MAZUNGUMZO RASMI YA KISERIKALI KATI MAWAZIRI WAKUU WA TANZANIA NA JAMHURI YA KOREA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimina na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea ,  Lee Nak -Yon wakati mgeni huyo alipowasili kwenye ukumbi wa Kikwete, Ikulu jijini Dar es salaam kwa mazungumzo rasmi ya kiserikali, Julai 22, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea,  Lee Nak - Yon  (kushoto ) wakiwa katika mazungumzo rasmi ya kiserikali kwenye ukumbi wa Kikwete, Ikulu jijini Dar es salaam Julai 22, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea,  Lee Nak - Yon  (kushoto ) wakiwa katika mazungumzo rasmi ya kiserikali kwenye ukumbi wa Kikwete, Ikulu jijini Dar es salaam Julai 22, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak - Yon (kushoto) wakishuhudia wakati Waziri wa Mambo ya Nje, Dkt. Augustine Mahiga  na  Makamu wa Kwanza wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Korea, Lim Sung - Nam  (kushoto) walipotia saini Mkataba  wa kuondoa Hitaji la Viza za Kusafiria kwa Watu Wenye Hati za Kusafiria za Kidiplomasia na Kikazi, kwenye ukumbi wa Kikwete, Ikulu jijini Dar es salaam Julai 22, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumnza na waandishi wa habari wakati alipotoa taarifa kuhusu mazungumzo rasmi ya kiserikali kati yake na Waziri Mkuu na Korea, Lee Nak- Yon (kushoto) kwenye ukumbi wa Kikwete, Ikulu jijini Dar es salaam Julai 22, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri  Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak - Yon baada ya mazungumzo rasmi ya kiserikali kati yao yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Kikwete, Ikulu jijini Dar es slaam, Julai 22, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.