Saturday, July 21, 2018

WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA KOREA , LEE NAK - YON AWASILI NCHINI NA KUPOKELEWA NA WAZIRI MKUU KASSIM MAJLIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Mheshimiwa Lee Nak-Yon wakati mgeni huyo alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kamabarage Nyerere jijini Dar es salaam kwa Ziara ya siku tatu chini Julai 21, 2018. 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Mheshimiwa Lee Nak- Yon baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye  uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam kwa Ziara ya siku tatu nchini, Julai 21, 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Mheshimiwa Lee Nak- Yon baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye  uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam kwa Ziara ya siku tatu nchini, Julai 21, 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais wa Jamhuri ya Korea ,Le Nak Yon wakifurahia ngoma kwenye uwanja wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam Juilai 21, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.