Monday, July 23, 2018

MAWAZIRI WAKUU WA TANZANIA NA JAMHURI YA KOREA WAHUTUBIA KONGAMANO LA PILI LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA KOREA - JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia katika Kongamano la Pili la  Biashara na Uwekezaji  Kati ya Tanzania na Jamhuri ya Korea kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Julai 23, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia katika Kongamano la Pili la  Biashara na Uwekezaji  Kati ya Tanzania na Jamhuri ya Korea kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Julai 23, 2018.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea,  Lee Nak- yon akihutubia  katika  Kongamano la Pili la Biashara  na Uwekezaji Kati ya Tanzania na  Korea kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, Julai 23, 2018.

aziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak - yon (kulia kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi walioshiriki katika Kongamano la Pili la Biashara na Uwekezaji  Kati ya Tanzania na Korea kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Julai 23, 2018. Kushoto kwa Waziri Mkuu Majaliwa ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dkt. Augustine Mahiga.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.