Monday, July 16, 2018

ZIARA YA MAJALIWA WILAYANI USHETU

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasha gari alilolizindua ambalo limenunuliwa na Halmashauri ya Ushetu kwa ajili ya Idara  ya Kilimo  ya Halmashauri hiyo , kwenye kijiji cha Kangeme Julai 16, 2018.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kangeme  kwenye  Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga,  Julai 16, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Fao la Ushirika Afya ambalo litawawezesha wanaushirika kunufaika na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, kwenye kijiji cha Kangeme katika Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga Julai 16, 2018.  Kushoto kwake ni  Waziri wa Kilimo, Dkt. Charles Tizeba, watatu kushoto ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsi, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Bernard Konga.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kangeme  kwenye  Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga,  Julai 16, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiwapungia wananchi wa Kijiji cha  Kangeme katika Halmashauri  ya Ushetu mkoani Shinyanga wakati alipowasili  kijijini hapo kuhututibia Mkutano wa hadhara na  kuzindua Fao la Ushirika Afya ambalo litawazesha wanaushirika kunufaika na huduma za Mfuko wa Bima ya Taifa ya Afya, Julai 16, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maeleazo kutoka kwa  Waziri  wa Kilimo, Dkt. Charles Tizeba. (kushoto) wakati alipokagua uuzaji wa tumbaku katika Chama  cha Ushirika cha Msingi cha Kangeme katika Halmashauri ya  Ushetu, Julai 16, 2018.  Kulia kwake  ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Zainab Telack na wapili kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Maendeloeo ya Ushirika Nchini, Dkt. Titus Kamani.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi baada ya kukagua ujenzi wa zahanati ya Ukune katika Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga, Julai 16, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.