Friday, September 14, 2018

MAJALIWA AAHIRISHA MKUTANO WA KUMI NA MBILI WA BUNGE

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 14, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Hanang, Dkt. Mary Nagu Bungeni jijini Dodoma, Septemba 14, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Hanang, Dkt. Mary Nagu Bungeni jijini Dodoma, Septemba 14, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa Kumi na Mbili  wa Bunge jijini Dodoma, Septemba 14, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongezwa na wabunge baada ya kusoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa Kumi na Mbili wa Bunge jijini Dodoma Septemba 14, 2018.

Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 14, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.