Friday, September 21, 2018

WAZIRI MKUU,KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA KIVUKO KATIKA KISIWA CHA UKARA MWANZA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela  (katikati) na Mkuu wa Mjeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo kuelekea katika eneo kilipozama Kivuko cha MV Nyerere katika kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe, Septemba 21, 2018. Kivuko hicho kinatoa huduma kati ya Kisiwa  cha Ukara na Kisiwa cha Bugorola.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama eneo kilipozama   Kivuko cha Mv Nyerere kinachotoa huduma kati ya kisiwa cha Ukara na Bugorola  wilayani Ukerewe wakati alipowasili kwenye kisiwa cha Ukara kujionea shughuli za uokoaji Septemba 21, 2018. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.