Wednesday, September 5, 2018

MAJALIWA ATEMBELEA OFISI KUU YA KAMPUNI YA HUAWEI TECHNOLOGIES ILIYOPO SHENZHEN NCHINI CHINA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea maua wakati alipowasili kwenye makao mkuu ya kampuni ya Huawei Technologies yaliyopo Shenzhen nchini China, Septemba 5, 2018. Kulia ni Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo duniani, Li Da Feng.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka ndani ya jengo la Makao Makuu ya Kampuni ya Huawei Techinologies  yaliyopo Shenzhen nchini China baada ya kutembelea  Ofisi hizo na kuzungumza na viongozi wa Kampuni hiyo, Septemba 5, 2018. 


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka ndani ya jengo la Makao Makuu ya Kampuni ya Huawei Techinologies  yaliyopo Shenzhen nchini China baada ya kutembelea  Ofisi hizo na kuzungumza na viongozi wa Kampuni hiyo, Septemba 5, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.