Tuesday, September 25, 2018

TNBC YAANDAA MWONGOZO WA MAJADILIANO WA KUBORESHA MASUALA YA SEKTA UMMA NA SEKTA BINAFSI NCHINI (PUBLIC PRIVATE DIALOGUE – PPD)

Wadau wakifuatilia uwasilishwaji wa mwongozo wa majadiliano kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi  kupitia mabaraza ya biashara ya Mikoa na Wilaya katika kikao kazi kilichoandaliwa na Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) tarehe 25 Septemba, 2018 Jijini Dar es Salaam.

Wadau wakifuatilia kwa karibu uwasilishwaji wa mwongozo wa majadiliano kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi  katika kikao kazi kilichoandaliwa na Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu tarehe 25 Septemba,2018 Jijini Dar es Salaam.

Mshauri Mwelekezi kutoka Chuo Kikuu Mzumbe Tawi la Dar es Salaam Prof. Honest Prosper Ngowi akiwasilisha majadiliano kwa wadau wakati wa kikao kazi cha Baraza la Taifa la Biashara kujadili Mwongozo kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi kwa ngazi ya Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es Salaam  tarehe 25 Septemba,2018.

Mwakilishi wa Kaimu Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Willy Magehema akifafanua jambo wakati wa majadiliano ya mwongozo baada ya kuwasilishwa na Mshauri mwelekezi katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu JijininDar es Salaam tarehe 25 Septemba, 2018

Patrick Mavika kutoka Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) akichangia jambo wakati wa kikao kazi cha majadiliano ya mwongozo kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi kupitia mabaraza ya biashara ya Mikoa na Wilaya kilichofayika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dar es Salaam tarehe 25 Septemba, 2018. Kulia Mwakilishi wa Kaimu Katibu Mtendaji wa TNBC Willy Magehema.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.