Thursday, September 27, 2018

MAJALIWA AFUNGUA WARSHA YA WANAJIOSAYANSI. JIJINI DODOMA.

Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa  akipata maelezo kutoka kwa mwananjiolojia, Batwenge Chakutema kuhusu vifaa mbaIimbali vinavyotumika katika utafiti na upimaji madini wakati alipofungua Warsha  ya Jumuiya ya Wanajiosayansi Tanzania  (Tanzania  Geological Society - TGS) kwenye hoteli ya New Dodoma, Septemba 27, 2018 .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akifungua Warsha   ya Jumuiya ya Wanajiosayansi Tanzania  (Tanzania  Geological Society - TGS) kwenye hoteli ya New Dodoma, Septemba 27, 2018 .


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia zawadi ya kinyago cha njiwa wawili kilichotokana na jiwe  wakati  alifungua  Warsha  ya Jumuiya ya Wanajiosayansi Tanzania  (Tanzania  Geological Society - TGS) kwenye hoteli ya New Dodoma, Septemba 27, 2018 . Kushoto ni Waziri wa Nishati, Angela Kairuki na kulia ni Mkuu wa wilaya ya Dodoma, Patrobas  Katambi.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Warsha  ya Jumuiya ya Wanajiosayansi Tanzania  (Tanzania  Geological Society - TGS) kwenye hoteli ya New Dodoma, Septemba 27, 2018 .


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.