Wednesday, September 5, 2018

MAJALIWA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MEYA WA SHENZHEN NCHINI CHINA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Meya wa Manispaa ya Shenzhen kwenye hoteli ya Wuzhou nchini China, Septemba 5, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Meya wa Manispaa ya Shenzhen, Bw. Wang Wanzhong kwenye ukumbi wa Hoteli ya Wuzhou nchini China, Septemba 5, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyeshwa piano ya Kichina na msan , Xing Man baada ya mazungumzo kati yake na Meya wa Manispaa ya Shenzhen nchini China. Bw. Wang Wanzhong, Septemba 5, 2018. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.