Wednesday, April 17, 2019

MATUKIO BUNGENI LEO TAREHE 17.04.2019

Waziri Mkuu ,Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mtwara Mjini (CUF), Maftah Nachuma, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma Aprili 17, 2019.
Waziri Mkuu ,Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Ackson (kulia), na Mbunge wa Sumve, Richard Ndasa Bungeni jijini Dodoma Aprili 17, 2019. 
Waziri Mkuu ,Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa viti Maalum, Upendo Peneza, Bungeni jijini Dodoma Aprili 17, 2019.
Waziri Mkuu ,Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Wawi (CUF) Ahmed Ngwali, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma Aprili 17, 2019. Katikati ni Mbunge wa Mafinga Cosato Chumi.
 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.