Monday, March 23, 2020

KATIBU MKUU MWALUKO AWAASA WATUMISHI OFISI YA WAZIRI MKUU KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

Mjumbe wa baraza kutoka Idara ya Mipango na Bajeti Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Dudu Malima akiwapitisha wajumbe wa kikao cha baraza la wafanyaka kuhusu Mapitio ya Utekelezaji wa Bajeti ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2019/2020 na Makadirio ya Mpango na Bajeti ya Ofisi hiyo kwa mwaka 2020/2021  wakati wa kikao hicho.

Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Ernajoyce Hallo akichangia jambo wakati wa kikao cha baraza la wafanyakazi Jijini Doodma.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Waziri Mkuu hoja wakati wa kikao cha Baraza hilo.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia hoja wakati wa kikao hicho kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa ofisi hiyo Jijini Dodoma.
Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Paschal Vyagusa akizungumza wakati wa kikao cha baraza hilo kilichofanyika Machi 23, 2020 Jijini Dodoma.
Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Augustino Tendwa akichangia jambo wakati wa kikao cha baraza hilo kilichofanyika Machi 23, 2020 Jijini Dodoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.