Tuesday, March 3, 2020

MAJALIWA AVUTIWA NA UBUNIFU WA MKUU WA WILAYA YA HANDENI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amefurahishwa na ubunifu wa Mkuu wa wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe wa kupanda mhogo kwenye eneo lote linalozunguka makazi yake  badala ya kupanda maua na nyasi. Alisema ubunifu huo licha ya kumpatia mboga za majani na mhogo wa kula, ziada atauza  na kujipatia fedha. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akitazama mhogo huo, Machi 3, 2020. Wa pili Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martine Shigela na kulia ni Mkuu huyo wa wilaya.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.